Kumekuwa na visa vingi vya kujitoa uhai kutoka kwa vijana wenye umri tofauti lakini eneo la Morobi kaunti ya Nandi KTN, imeweza kupata historia ya majabali ya eneo hilo ambayo ilitumika sana haswa na wazee waliofikisha miaka mia kuendelea, majabali hayo yalikuwa ndio chaguo la wazee hao kujitoa uhai, kisa na hawataki kuwa mzigo kwa jamii...kwa mengi zaidi huyu hapa lulu hassan