KTN Leo: Umarufu wa Eugene Wamalwa umefifia?

Added on June 06, 2012
Share this video on:
Je umaarufu wa Eugene Wamalwa umefifia tokea musalia mudavadi, ahame chama cha odm? Jana alionekana na kalonzo musyoka,na leo amesisitiza tena hatoungana na makundi yenye nia moja tu ya kumzuia waziri mkuu raila oldinga kuingia ikulu. New ford kenya iliomtongoza na kumtangaza wamalwa kuwa ni mgombea wake wa urais, sasa imempa kisogo. Madai pia yamejitokeza kuwa waziri huyo wa sheria ametuma risala kwa raila odinga iwapo atanyoosha mkono kumpokea katika basi la chungwa. Je eugene wamalwa kakosa makao?
Last Modified: 06 Jun 2012 20:28
RSS Feeds

Programme Schedule: 19-05-2013 07:45 EAT

On Air: Joyce Meyer Ministries

UpNext »»

08:00Family Glory
09:00Tukuza Live Gospel Show
13:00News Desk
13:30Sunday Animated classics
15:00Glamorosa
16:00Mbiu ya KTN

Entertainment

  • KTN Programmes
  • Pick of the Day
  • Promos
  • KTN SHOWS
  • Entertainment
  • Video of the Day
  • Midmorning
  • Tujuane
  • KTN Comedies
  • Better Days
  • Shuga
  • Ajabu
  • Str8up
  • Tukuza
  • Izvipi
Loading...
Loading...
comments powered by Disqus