Features: Maisha peupe: Shida za mwanafuzi yatima

Added on May 27, 2012
Share this video on:
Aliibuka mwanafunzi bora wa mtihani wa KCSE wa mwaka jana katika kaunti ya taveta lakini wasichokijua wengi ni kwamba kijana paul mwangura hakutarajia hata kumaliza masomo yake ya shule ya upili kutokana na tatizo la ukosefu wa karo. Na hata alipomaliza shule hakuwa na pa kwenda , na kuishia kupewa hifadhi na hoteli moja katika kaunti hiyo akitumai kwamba atapata uwezo wa kwenda chuo kikuu. Lakini juu ya yote haya bado hajakata tamaa ya kujiunga na chuo kikuu na kuendeleza ndoto yake ya kupata elimu maishani. Esther kahumbi na maelezo zaidi kumhusu.
Last Modified: 27 May 2012 20:49
RSS Feeds

Programme Schedule: 22-05-2013 16:16 EAT

On Air: KTN Kids

UpNext »»

17:00IZ Vipi Mashariki
18:00Hollywood Heights
18:30KTN Leo
19:30Pasua rpt
20:00Guiness Football Challenge
21:00KTN Prime

Entertainment

  • KTN Programmes
  • Pick of the Day
  • Promos
  • KTN SHOWS
  • Entertainment
  • Video of the Day
  • Midmorning
  • Tujuane
  • KTN Comedies
  • Better Days
  • Shuga
  • Ajabu
  • Str8up
  • Tukuza
  • Izvipi
Loading...
Loading...
comments powered by Disqus