1 KTN Video | Wakimbizi waishtaki serikali

KTN Leo: Wakimbizi waishtaki serikali

Added on May 23, 2012
Share this video on:
Zaidi ya wakimbizi 1,500 wanaoishi kwenye kambi katika kaunti ya Nyandarua wameishtaki serikali kwa kushindwa kuwapa makao kama ilivyowaahidi baada ya ghasia za baada ya uchaguzi wa mwaka wa 2007. Wakimbizi hao kutoka sehemu mbalimbali nchini tayari wamewasilisha kwa mkuu wa sheria na katibu katika wizara ya mipango maalum ilani ya kuipeleka serikali mahakamani.
Last Modified: 23 May 2012 20:57
RSS Feeds

Programme Schedule: 20-05-2013 09:02 EAT

On Air: Mid Morning Lifestyle

UpNext »»

10:00El Clon
11:00Kenya Kona Rpt
12:00Just for laughs rpt
12:30Pasua rpt
13:00News Desk
13:30Football Review

Entertainment

  • KTN Programmes
  • Pick of the Day
  • Promos
  • KTN SHOWS
  • Entertainment
  • Video of the Day
  • Midmorning
  • Tujuane
  • KTN Comedies
  • Better Days
  • Shuga
  • Ajabu
  • Str8up
  • Tukuza
  • Izvipi
Loading...
Loading...
comments powered by Disqus