Familia ya waziri wa fedha Njeru Githae imepigwa na butwaa baada ya mwili wa mwanawe kupatikana chumbani mwake akiwa amefariki, aidha msemaji wa familia hiyo dakitari Githae alisema brian karanga mwenye umri wa miaka 26, alipatikana amefariki katika chumba chake huko runda aidha ripoti za polisi zasema mwili wake ulipatikana ukining’inia darini, chumbani mwake . Familia hiyo imesema itasubiri uchunguzi wa dakitari