Naivasha imenaswa na maafisa wa polisi. Mali hiyo ilipatikana baada ya washukiwa kushindwa kuondoa vifaa maalum vya kulitambulisha gari linapokuwa eneo lolote lile almaarufu kama tracking devices .dereva na taniboi wake wametiwa nguvuni kwa madai ya kuhusika katika wizi huo.