Mbona mataifa yenye utajiri wa mafuta bado yanajikokota kimaendeleo? Je ni laana au ni sheria hazijabuniwa kutoa mwongozo wa ugavi wa mapato yanayotokana na mafuta? Tuulizungumza na wataalam waliotueleza kuwa tatizo kuu ni usiri kutoka kwa serikali hasa kuambatana na mali asili na hivyo basi kunyima umma nafasi ya kupata hamasisho kuambatana na uvumbuzi wa mali asili na hivyo kuwaacha wakiamini kuwa mali husika ni yao