KTN Leo: GSU yawazuia wafanyikazi KAA kurejea kazini

Added on November 30, -0001
Share this video on:

Hali ya taharuki ilitanda katika uwanja wa ndege wa kimataifa wa Jomo Kenyatta, pale maafisa wa GSU waliojihami walipowazuia wafanyakazi wa viwanja vya ndege kurejea kazini, hatua hii imejiri licha ya mahakama kubatilisha uamuzi wa hapo awali wa kuwafuta kazi wafanyi hao.  Mapema hapo jana muungano wa wafanyakazi – Cotu ulisema kuwa hatua iliyochukuliwa na mamlaka hayo ya viwanja vya ndege kwa wafanyikazi wake haikuwa halali.

Last Modified: 30 Nov -0001 00:00
RSS Feeds

Programme Schedule: 19-06-2013 09:17 EAT

On Air: Mid Morning Lifestyle

UpNext »»

10:00El Clon rpt
11:00Tujuane
12:00DW shift
12:30Perspective rpt
13:00News Desk
13:30Kick off Bundesliga

Entertainment

  • KTN Programmes
  • Pick of the Day
  • Promos
  • KTN SHOWS
  • Entertainment
  • Video of the Day
  • Midmorning
  • Tujuane
  • KTN Comedies
  • Better Days
  • Shuga
  • Ajabu
  • Str8up
  • Tukuza
  • Izvipi
Loading...
Loading...
comments powered by Disqus