KTN Leo: Moi aonya dhidi ya wimbi la vyama vya kisiasa

Added on November 30, -0001
Share this video on:

Rais mstaafu Daniel arap Moi ameonya wakenya dhidi ya kubebwa na wimbi la vyama vya kisiasa hasaa vinavyoundwa kwa msingi ya maeneo. Akizugumza katika makao yake huko kabarnet baada ya kufanya mazungumzo ya kipekee na waandishi habari wa KTN, Rais mstaafu  aliwataka wakenya kutumia uhuru wao wa kidemokrasia kudadisi azma ya vyama na viongozi wao kabla kuviunga mkono. Aidha vikao vya hivi majuzi katika maeneo ya mkoa wa kati na Rift Valley chini ya miavuli ya Gema na Kamatusa vimetifua mjadala kuhusu siasa inayoendeshwa humu nchini wakati Kenya inapoelekea katika uchaguzi mkuu. 

Last Modified: 30 Nov -0001 00:00
RSS Feeds

Programme Schedule: 20-06-2013 06:40 EAT

On Air: Sunrise Live

UpNext »»

09:00Mid Morning Lifestyle
10:30Mariana and Scarlet
11:20World Strongest man
12:00Drive It
12:30Case files
13:00News Desk

Entertainment

  • KTN Programmes
  • Pick of the Day
  • Promos
  • KTN SHOWS
  • Entertainment
  • Video of the Day
  • Midmorning
  • Tujuane
  • KTN Comedies
  • Better Days
  • Shuga
  • Ajabu
  • Str8up
  • Tukuza
  • Izvipi
Loading...
Loading...
comments powered by Disqus