Mvutano na tofauti kubwa sasa zimeibuka kati ya baraza la mawaziri na bunge huku baraza la mawaziri likidai kutoweza kutekeleza majukumu yake vilivyo kutokana na kuingiliwa na bunge.waziri mkuu raila odinga anadai kwamba mawaziri wamekosa kushughulikia vilivyo maswala muhimu wanayostahili kufanya kwa sababu ya muda mwingi wanaohitajika kufika mbele ya kamati za bunge. Hata hivyo bunge linasisitiza kuwa na nguvu ya kufanya hivyo.
| 06:00 | Sunrise Live |
| 09:00 | Mid Morning Lifestyle |
| 10:30 | Mariana and Scarlet |
| 11:20 | World Strongest man |
| 12:00 | Drive It |
| 12:30 | Case files |
|
| Loading... |