Klabu ya Gor Mahia imepigwa marufuku kutumia viwananja vyote vilivyo chini ya usimamizi bodi ya viwanja nchini baada ya ghasia zilizoshuhudiwa wakati klabu hii ilipotoka sare tasa dhidi ya AFC leopards Jumapili iliyopita.hata hivyo katibu mkuu wa klabu hii George bwana anasema masaibu yanayokumba klabu yake ni kutokana na joto la kisiasa nchini. Hassan Jumaaa na taarifa hiyo.