Walimu waendeleza mgomo wao

Wednesday, June 19th 2013
 
Mgomo wa walimu ulioanza jana katika shule za sekondari umelemaza vipindi vya masomo darasani na sas....

Wafanyi kazi wa jiji na hospitali ya Kenyatta wagoma

Wednesday, June 19th 2013
 
Na huku ikionekana umewadia ule msimu wa migomo- wafanyakazi wa baraza la jiji leo walisusia kazi ....

Ziara ya Korea

Wednesday, June 19th 2013
 
Wakaazi wa Baringo huenda wakanufaika na miradi kadhaa kutoka nchini Korea baada ya seneta wa Baring....

Taarifa Kuu 20.16.2013

Wednesday, June 19th 2013
 
Taarifa Kuu 20.16.2013....

KTN Leo 20.06.2013

Wednesday, June 19th 2013
 
KTN Leo 20.06.2013....

Usalama Mombasa

Wednesday, June 19th 2013
 
Kufuatia matukio ya uhalifu katika Pwani ya Kenya, vyombo vya usalama mjini Mombasa sasa vimetoa mak....

Kongamano la magavana

Wednesday, June 19th 2013
 
Magavana wote sasa watapewa pasipoti za kidiplomasia na sajili maalum za magari yao ya kazi ili kubo....

Miaka nane hajasikwa

Wednesday, June 19th 2013
 
Miaka nane hajasikwa....

Ukaguzi wa makatibu

Wednesday, June 19th 2013
 
Shughuli ya kuwakagua makatibu wa kudumu walioteuliwa na rais Uhuru Kenyata imeanza rasmi hii leo hu....

Ruto kutohudhuria baadhi ya vikao vya ICC

Tuesday, June 18th 2013
 
Majaji wa mahakama ya ICC wamekubali ombi la mawakili wa naibu rais William Ruto la kutaka Ruto kuru....

Mke wa mshukiwa wa ugaidi afikishwa mahakamani

Tuesday, June 18th 2013
 
Mke wa mshukiwa wa ugaidi Kassim Omollo aliyeuawa na maafisa wa polisi katika oparesheni iliyoendesh....

Mzozo wa Ardhi ya Grogon

Tuesday, June 18th 2013
 
Hali ya mshike mshike ndio iliyotanda katika mzunguko wa globe, kufuatia makabiliano kati ya polisi ....

Taarifa Kuu - Mgomo wa Walimu

Tuesday, June 18th 2013
 
Hatua ya mwenyekiti wa muungano wa wazazi na walimu kuwasihi walimu wasifanye mgomo ilimweka pabaya ....

Gharama ya office ya Mwai Kibaki

Tuesday, June 18th 2013
 
Kamati ya bunge kuhusu bajeti imekosoa pendekezo la serikali la kununa jumba la shilingi milioni 700....

Maafisa waliomsafirisha Chinedu wakwama Nigeria

Tuesday, June 18th 2013
 
Jamii ya raia wa Nigeria humu nchini imetoa kilio kwamba wanalengwa, katika vile vita vya kupamaban ....

Wanawake wafunzwa karate dhidi ya ubakaji

Tuesday, June 18th 2013
 
Ikiwa hujui kutupa teke au ngumi basi umo taabani kulingana na wanawake kutoka eneo la Nyanguru ka....

KTN Leo 18.06.2013

Tuesday, June 18th 2013
 
KTN Leo 18.06.2013....

Kaunti ya Uasin Gishu KTN Leo

Monday, June 17th 2013
 
KTN Leo ikiangazia Kaunti ya Uasin Gishu nao Mary Kilobi na Ali Manzu....

Uteuzi wa makamanda nchini

Monday, June 17th 2013
 
Uteuzi wa makamanda nchini....

Maohjiano kuhusu Mgomo wa walimu

Monday, June 17th 2013
 
Maohjiano kuhusu Mgomo wa walimu....

Mzozo wa Ardhi Nairobi

Monday, June 17th 2013
 
Waziri wa ardhi, makazi na maendeleo mijini Charity Ngilu, anasema kwamba ardhi yenye utata wa umili....
RSS Feeds

Programme Schedule: 20-06-2013 12:52 EAT

On Air: Case files

UpNext »»

13:00News Desk
13:30IAAF Athletics
14:00Afri Screen
16:00Mbiu ya KTN
16:10KTN Kids
17:00IZ Vipi Mashariki