Mt. Elgon - Wajane wadai fidia 9/04/09


Published on 10/04/2009

 

Viongozi wa madhehebu kutoka eneo la Mount Elgon wanaitaka serikali ya Kenya kuwalipa fidia wanawake elfu moja mia mbili ambao kufikia sasa ni wajane baada ya waume wao kufariki katika makabiliano ya vita kuhusu ardhi kwenye eneo hilo . Hii ni baada ya operesheni iliyoanzishwa na serikali ya kuwasaka wanachama wa kikundi cha kigaidi cha Sabaot Land Defence Force.

 

 

Read all about:

 

 

|   |    |   Add Comment |    Comments (0)


Sports News

AFC Leopards face the axe
A week after Kenyan football suffered the setback of McDonald Mariga’s failed move to Manchester City, CAF Confederations Cup...more

Today's magazine

  Crime, Courts & Investigations
Alarm over vehicle registration Flaws

The deal was sealed with a handshake before the two men headed in different directions. One of them went to Kenya Revenue Authority headquarters while the other went to his office to await some money.